Nyumba ya kupanga inahitajika

Nyumba ya kupanga inahitajika

Logik

Member
Joined
Jan 17, 2012
Posts
32
Reaction score
4
Habari,

Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Tangi bove/Afrikana/Jogoo/Mwenge au Makumbusho. Iwe na vyumba viwili vya kulala kimaoja master, sebule na jiko. BAJET NI 170000/= inaweza kuongezeka kutokana na mandhari ya nyumba yenyewe.
ni PM kama unayo

Asanteni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom