Nyumba ya kununuliwa inahitajika

Nyumba ya kununuliwa inahitajika

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,119
Reaction score
349
Iwe maeneo ya Mbezi Beach. Iwe imekamilika. Bajeti 200mil.Iwe na Hati miliki. 0717114409
 
With that budget go check this house in sinza


HAYA TENA WANA JF KUNA NYUMBA INAUZWA SINZA KARIBU NA LION HOTEL IMEPAKANA NA BARABARA YA KWENDA KWA<strong> MWAIBULA.</strong>&nbsp;NI MAKAZI YA MTU, NA INA ENEO KUBWA PAMOJA NA MABANDA YA UWANI. INAFAA KWA LODGE AU KWA BIASHARA YOYOTE ILE. BEI INAANZIA 130MIL ILA KUNA MAELEWANO.<br><br>&nbsp;KWA MAWASILIANO ZAIDI JUST CALL THESE NO<br>&nbsp;0714812375<br>0784562131 for more info...​
 
Nyumba inauzwa Kijitonyama karibu na nyumba za BOT, barabara ya shekilango, kituo ni Mapambano. Nyumba kubwa imezungushiwa ukuta, ina gereji, mabanda ya uwani, kiwanja kimepimwa, ni self contained. mawasiliano: 0713 234 011
 
mwenzenu kawaambia mbezi nyie mnajileta na za uswahilini wapi na wapi!
 
Iwe maeneo ya Mbezi Beach. Iwe imekamilika. Bajeti 200mil.Iwe na Hati miliki. 0717114409

Kaka mimi ninaishi mbezi beach, hiyo budget yako inaweza kuwa chini. As a matter of fact kuna viwanja tu
Peke yake vinauzwa million 200 na zaidi. Labda ufikirie
maeneo mengine ambayo yanafit budget yako au
uongeze budget Kama unataka kitu cha uhakika
Ni ushauri tu kaka don't take it as insult. 200m is a lot of money but kwa Mbezi wanakoquote price kwa dola itakuwa kazi kweli kweli kupata nyumba ya dola laki moja
 
Kaka mimi ninaishi mbezi beach, hiyo budget yako inaweza kuwa chini. As a matter of fact kuna viwanja tu
Peke yake vinauzwa million 200 na zaidi. Labda ufikirie
maeneo mengine ambayo yanafit budget yako au
uongeze budget Kama unataka kitu cha uhakika
Ni ushauri tu kaka don't take it as insult. 200m is a lot of money but kwa Mbezi wanakoquote price kwa dola itakuwa kazi kweli kweli kupata nyumba ya dola laki moja

Mkuu,
Tena huyu jamaa mwenyewe ndio anaongoza kwa ku-quote price kwa dola,
Tena bei zake, msingi wa Nyumba tu unauziwa kwa Tshs 300Mil.
Leo kitomai unatafuta Nyumba kwa Tshs 200, kulikoni???!!!
 
Mkuu,
Tena huyu jamaa mwenyewe ndio anaongoza kwa ku-quote price kwa dola,
Tena bei zake, msingi wa Nyumba tu unauziwa kwa Tshs 300Mil.
Leo kitomai unatafuta Nyumba kwa Tshs 200, kulikoni???!!!

kweli hizi biashara za kinyonyaji, anauza hadi mil 600 nyumba mbofumbofu leo anataka kwa mil 200. Mimi nauza yangu toangoma viwanja vya serikali mil 100, ina hati umeme
 
Nitumie picha za nyumba ya toangoma. pia niambie ni umbali gani kutoka kivukoni.
 
Nitumie picha za nyumba ya toangoma. pia niambie ni umbali gani kutoka kivukoni.

kwenye picha itakua ngumu kidogo b'se cn laptop ila kama upo sereous nipm uje uione. Ni 20km frm kivukm na hakuna jam kabisa
 
Hapo mbezi nimeiona moja inauzwa kwa 80mi lakini haijawa na vigezo vinvohitajika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom