Marco Z
Member
- Jul 4, 2016
- 30
- 27
Nyumba nzuri sana. Ina vyumba vitatu vya kulala, vitatu. Vyumba viwili Master bedroom, Sebule kubwa na dining room, Jiko na stoo.
Ukubwa wa kiwanja ni mita 25 * 20. Hivyo kuna eneo kubwa mbele ya kujenga fence na fremu za biashara kwa muhitaji wa fremu. Bei ya kuuzwa ni Milo n 48 na maongezi yapo.
Inapatikana Mbagala, Chamazi, Dar es salaam. Ina hati halali ya mauziano serikali ya mtaa.
Ukubwa wa kiwanja ni mita 25 * 20. Hivyo kuna eneo kubwa mbele ya kujenga fence na fremu za biashara kwa muhitaji wa fremu. Bei ya kuuzwa ni Milo n 48 na maongezi yapo.
Inapatikana Mbagala, Chamazi, Dar es salaam. Ina hati halali ya mauziano serikali ya mtaa.