Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 4,630
- 4,689
Jamani kuna dada yangu anapangisha nyumba yake nzuri iliyopo Segerea karibu na Rufita, Kituo cha basi cha kwabibi. Nyumba ni mpya iko karibu sana na bara bara na eneo tulivu, ina fence na uwezo wa kupaki gari mbili.
Ina vyumba Vitatu vya kulala, kimoja kati ya hivyo ni master bedroom, jiko, na stoo. ni nyumba nzuri kwa familia ya wastani.
Bei ni shilingi laki nne unusu (450,000/=) Kwa mwezi.
Mwenye kutaka maelezo zaidi au kuiona apige simu +255 765 399 918 kwa maelezo kuweza kuiona nyumba.
Dalali hatakiwi.
Ina vyumba Vitatu vya kulala, kimoja kati ya hivyo ni master bedroom, jiko, na stoo. ni nyumba nzuri kwa familia ya wastani.
Bei ni shilingi laki nne unusu (450,000/=) Kwa mwezi.
Mwenye kutaka maelezo zaidi au kuiona apige simu +255 765 399 918 kwa maelezo kuweza kuiona nyumba.
Dalali hatakiwi.