Nyumba ya biashara inapangishwa Arusha

Nyumba ya biashara inapangishwa Arusha

Emaoi

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2013
Posts
307
Reaction score
235
nyumba inapangishwa arusha sanawari. Ni nyumba inayofaa kwa biashara kama dispensary au hotel au day care au kwa kulala. ina vyumba viwili, sebule, jiko, choo, bafu na store na eneo la wazi. sio mbali kutoka barabara kuu. ina umeme na maji na ipo ndani ya fence. Kwa bei na mawasiliano piga no. 0653 954 094. Picha hazisaidii ni vizuri kufika eneo husika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom