Natafuta nyumba ya kupanga,ni nyumba ya kuishi na si ya biashara, maeneo ya sigara chang'ombe jirani na TCC club.
Iwe na fence na geti,sebule na angalau vyumba 2 vya kulala,maji na luku ya kujitegemea ni muhimu zaidi.
Bajeti yangu ni Tsh 250,000-300,000/month.
JF NI ZAIDI YA MADALALI.
Iwe na fence na geti,sebule na angalau vyumba 2 vya kulala,maji na luku ya kujitegemea ni muhimu zaidi.
Bajeti yangu ni Tsh 250,000-300,000/month.
JF NI ZAIDI YA MADALALI.