Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa bei cheeee...

Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa bei cheeee...

Joined
Oct 29, 2012
Posts
86
Reaction score
4
Mahali: Ipo Yombo, TMK, DSM.

Maumbile: ina vyumba vitano, sebule moja na "siting room" mbili, vyoo viwili vya sinki na chumba cha jiko. Imezungushiwa fensi na ina paking ya gari.

Hudu za jamii: nyumba ina umeme, na njia ya uhakika kwa gari na hakuna kabisa shida ya maji. Unaweza kuona muonekano wa nyumba kwa kuingia mobile upload ya mohamed.a.taulo.1@facebook.com ndani ya facebook.

Nyumba ina kiwanja kikubwa kilichopimwa kama uonavyo pichani.

Mawasiliano moja kwa moja kwa muuza nyumba 0653422776.

N.B: mambo ni ya kweli na uhakika na hakuna ubabaishaji.
 
Ubabishaji wa kwanza ni kusema mtu aende FB wakati tangazo umeleta JF..kwnini usingepeleka huko huko sasa kama picha umeweka huko!!! wengine hatuendi huko FB maana kuna wtoto wengi kule...
 
Samahani, naomba unipe msaada wa kuweka picha jf. Mimi nashindwa kuwa si mzoefu humu jf.
 
Mahali: Ipo Yombo, TMK, DSM.

Maumbile: ina vyumba vitano, sebule moja na "siting room" mbili, vyoo viwili vya sinki na chumba cha jiko. Imezungushiwa fensi na ina paking ya gari.

Hudu za jamii: nyumba ina umeme, na njia ya uhakika kwa gari na hakuna kabisa shida ya maji. Unaweza kuona muonekano wa nyumba kwa kuingia mobile upload ya mohamed.a.taulo.1@facebook.com ndani ya facebook.

Nyumba ina kiwanja kikubwa kilichopimwa kama uonavyo pichani.

Mawasiliano moja kwa moja kwa muuza nyumba 0653422776.

N.B: mambo ni ya kweli na uhakika na hakuna ubabaishaji.

Hii nyumba ilishaletwa hapa na bei walisema ni 55m. Ukipiga simu haipatikani!!!! Kama picha ziko facebok kwa nini usizitoe kule ulete hapa? Kuna wengi wetu huko fb kwa watoto washule wanatafuta promo hatupo. Tukipata muda kidogo tunashuka hapa penye habari za mustakabali wa nchi hii. Nakushauri kuwa si wote wana account za facebook kwa hiyo tangazo lako bado si la kufikika kirahisi. Lifanye complete hapa, ndiyo habari njema kwako kuhusu marketing strategies.
 
Kama ni tangazo kwa nini usiweke na bei?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom