dimatteo
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 868
- 931
Habari wana jf ...nilishawahi kuja humu kutangaza kuhusu uuzwaji wa nyumba iliyopo maeneo ya tabata segerea(maeneo kwa mashilingi)
SIFA ZA NYUMBA
1)Nyumba ina tiles na gypsum,umeme pamoja na Maji
2)inavymba vitatu(kimoja kati ya hivyo vitatu ni master bedroom),jiko kubwa la kupikia ,public toilet,seatingroom kubwa(kwa ndan imekuwa well designed)
3)Kutoka barabarani nikama mita 90-120,na kama unagari basi linaweza fika mpaka kwenye nyumba kabisa
4)Nyumba imepigwa rangi nyeupe ila ya muda kidogo,
5)Maeneo iliyo kwa wale wanaoifahamu kwa mashilingi nazani hakuna haja ya kuekezea sana(mana uswahilini),full security coz ipo karibu kabisa na gereza la segerea
........Asanten karibuni Sana Bei ni 19Mil.....Nahii kutokana kama si keo au kesho yaweza pigwa mnada na benki kwaiyo kuliko kukosa kabisa ....bei ndo hiyooo...Karibuni wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
SIFA ZA NYUMBA
1)Nyumba ina tiles na gypsum,umeme pamoja na Maji
2)inavymba vitatu(kimoja kati ya hivyo vitatu ni master bedroom),jiko kubwa la kupikia ,public toilet,seatingroom kubwa(kwa ndan imekuwa well designed)
3)Kutoka barabarani nikama mita 90-120,na kama unagari basi linaweza fika mpaka kwenye nyumba kabisa
4)Nyumba imepigwa rangi nyeupe ila ya muda kidogo,
5)Maeneo iliyo kwa wale wanaoifahamu kwa mashilingi nazani hakuna haja ya kuekezea sana(mana uswahilini),full security coz ipo karibu kabisa na gereza la segerea
........Asanten karibuni Sana Bei ni 19Mil.....Nahii kutokana kama si keo au kesho yaweza pigwa mnada na benki kwaiyo kuliko kukosa kabisa ....bei ndo hiyooo...Karibuni wadau
Sent using Jamii Forums mobile app