Hess
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 593
- 675
Hahahaha. Sasa Kisasa hapo kuna nini kipya cha bei hiyo... Hizo nyumba hadi zilipofikia ni chini ya 4m zote. Kiwanja eneo la kisasa zilipo hizo nyumba ukubwa wa 1000 square meter ni chini ya 15m... Ukipewa 60m mnunuzi kajilazimisha sana mkubwa... na bati hizo za dragon hahahaha. Kila jema mkuuMbona unaweza kununua kiwanja peke zaidi hata ya pesa hiyo? Kama hujui biashara wapishe wanaelewa hii biashara ya Nyumba na viwanja.