Nyumba mpya inauzwa bei ya kutupwa

Nyumba mpya inauzwa bei ya kutupwa

mseseve

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
511
Reaction score
89
SAM_2572.JPG SAM_2569.JPG SAM_2575.JPG
nyumba iko barabara ya kwenda mpigi magohe MBEZI MWISHO ipo karibu na shule ya yatima bethsaida

sifa za nyumba
kiwanja ukubwa 35x40
master bedroom 1
rooms za kawaida 3
private toilet 1
public toilet 1
jiko na store yake
ndani ni full tiles kama picha zinavyoonesha
bati ni msauzi (south africa) rangi ya blue
eneo lipo karibu kabisa na barabara ya mpango ya magari ambayo yatakuwa yakipitia barabara
hiyo kwenda mikoa ya kaskazini kupitia bagamoyo na panafaa pia kwa biashara yoyote ile
bei ni maelewano na mama muuzaji na hakuna dalali au mtu wa kati

sababu za kuuza
mama ana matatizo ya kiafya na anataka arudi kijijini
mama ni mwalimu mstaafu na baada ya kupata mafao yake akaamua kujenga nyumba hiyo

nyumba hiyo kwa ndani na muuzaji ni huyu mama hakuna dalali
SAM_2577.JPG
barabara ya mtaa inayoelekea maeneo ya makazi ya yako well planned
piga simu ongea na mama mwenyewe uelewane nae
0718939273 ndugu aliyeachiwa
SAM_2563.JPG
pia nyumba imechimbwa kisima cha maji kwa nje kama kinvyoonekana.
 

Attachments

  • SAM_2554.JPG
    SAM_2554.JPG
    68 KB · Views: 466
Looohh!! Namuonea huruma Mama, get well soon. Kama kuna watu wenye uwezo wa kutosha wamsaidie huyu mama ili aweze kufaidi sehemu ya pesa ya mafao yake. Ajivunie kwa alichokifanyia kazi, miaka nenda rudi.
 
Kwani alikuwa anachangia mfuko gani wa pension?na huko kijijin ana nyumba au ndio wanaenda kumtegemea mpaka sh ya mwisho.
 
Ana nyumba ndo maana anataka arudi kwao na kuwa karibu na ndugu zake wa kumsaidia hapa mjini hata akibaki atazidi kutegemea watu baki ambao mwisho watachoka kumsaidia
 
Kwa kumuonea huruma mama ni bora nisiinunue maana itakuwa kama vile namwonea
 
Wewe unasema bei ya kutupa halafu hausemi ni shs. ngapi tukueleweje? Twambie hiyo bei kabla hatujapiga simu.

Tiba
 
Ndio maana nikasema elewana nae Piga simu direct kwa mama ila kama wewe ni dalali usipige simu mambo ya kuongeza bei no. 0657320180
 
hiyo sio sahihi kwa sababu hata ukimpa hela haitasaidia yeye kashasema anarudi kijijini mjini hakutaki tena na ingekuwa ni sehemu ambayo mtuanaweza kupangisha angepangisha then arudi kijijini...Msaidie kama una ndugu anahitaji nyumba wasiliana nae
 
mseseve weka bei. Then je Ina hati? unaweza weka mchoro wa ramani yake na iko umbali gani toka morogoro road?
 
Last edited by a moderator:
umeshauona mzigo na namba za mhusika then piga simu kama kweli unahitaji....bei ni maelewano kati yako na yeye....tatizo watu hukimbia baada ya kuona bei ila kama una nia ya kupata nyumba mpigie mwenyewe
 
Ndio maana nikasema elewana nae Piga simu direct kwa mama ila kama wewe ni dalali usipige simu mambo ya kuongeza bei no. 0657320180
Wewe ni dalali, halafu hutaki madalali wenzako nao wale cha juu,sawa bwana tumekuelewa.
 
kuna vitu vingine ukiviona jinsi vilivyo hata dalali hapo haitajiki coz mama anashida ningekuwa nataka hela nisingeweka namba ya MAMA hapa na ingekuwa ni udalali ningefanya tuu wala sishindwi ILA kama wewe unataka nyumba mpigie mama ongea nae mkishindwana acha...kuna ubaya hapo 0657320180 namba ya mama
 
kuna vitu vingine ukiviona jinsi vilivyo hata dalali hapo haitajiki coz mama anashida ningekuwa nataka hela nisingeweka namba ya MAMA hapa na ingekuwa ni udalali ningefanya tuu wala sishindwi ILA kama wewe unataka nyumba mpigie mama ongea nae mkishindwana acha...kuna ubaya hapo 0657320180 namba ya mama
Kama kuna ambaye hataelewa post yako hii, nadhani atakuwa na matatizo kdgo kwani kwa kwa hali aliyonayo huyo mama na kama kazi yake alikuwa mwalimu kwa kweli atakuwa na mtihani. Lkn hebu msaidie kwa machache yafuatayo:

Kama ww ni jamaa yake wa karibu, jaribu kumsimamia kupatana bei kwa vile huyo mama kwa hali aliyonayo, ataweza kukubali rate ndogo sana akidhani asipofanya hivyo atakosa fedha za matibabu. Vilevile, ikitokea ameuza basi afikirie namna atakavyofanya "control mgt" ya fedha zake kwani akienda nazo kijijini eidha zitaibiwa au atazitumia katika hali ambayo yeye haitamsaidia kwa muda mrefu. Kumbuka kwamba akiziweka bank zote, sina hakika na uimara wake wa kwenda benki kuchukua hela hizo mara kwa mara. Si vibaya akipata vimashine vyake vya nafaka, Ng'ombe wake kadhaa ili wampatie fedha endelevu nk. Mpe pole yake.
 
Nimeongea na mama na bei amenitajia, ila nionavyo mimi kwa bei ile na mahali ilipo nyumba Majohe ni ghali kwa kuwa pia finishing kubwa bado. Mshaurini mama aanzie bei ambayo si kubwa sana. Kwa bei aliyonitajia itamchukua muda mrefu kupata mteja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom