NYUMBA INAUZWA_IKWIRIRI

NYUMBA INAUZWA_IKWIRIRI

Refrector

Senior Member
Joined
Mar 13, 2014
Posts
187
Reaction score
118
Nyumba na kiwanja chake kinauzwa Ikwiriri Rufiji

Nauza kiwanja chenye ukubwa wa 30/30 na nyumba yenye chumba kimoja na choo na sebure ni kubwa sana sebure futi 15/20 na nyumba nzima urefu futi 35/15. Bei 4,000,000/=Karibuni sana najaribu ku upload inasumbua kwa muhitaji anitafute kwa namba hii kisha nitamtumia picha whatsup.
0629683560.
 

Attachments

  • tapatalk_1501353203041.jpeg
    tapatalk_1501353203041.jpeg
    8.7 KB · Views: 39
Jeshi la Polisi kupitia kwa Msemaji wake Ndg Mwakalukwa alisema maeneo yote hayo ni shwari tulivu na Maadui wameshasbaratishwa so msiuze Mali na Samani zenu kwa Bei ya kutupwa
 
Mhhh!hadi kukitulia huko
unanunua kabisa alafu huhamii mpaka mambo yakae sawa,uzuri nyumba haiozi,alafu hata hao wauaji hawana historia ya kuua wananchi wa kawaida kama wewe sio afisa usalama ama kiongozi wa sisiemu huna haja ya kuwa na wasiwasi,changamkia fursa hyo mkuu,mi nmepata eneo kule bei chee,ila pakija kutulia nitauza bei nzuri sana,kila tatizo huja na milango ya fursa.
 
Jeshi la Polisi kupitia kwa Msemaji wake Ndg Mwakalukwa alisema maeneo yote hayo ni shwari tulivu na Maadui wameshasbaratishwa so msiuze Mali na Samani zenu kwa Bei ya kutupwa
wengine walishauza mkuu,wajanja tumepata maeneo kwa bei nafuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom