Una maana kwa TShs ni 2,400,000,000/=, yaani bilioni 1.5. Tanzania tambarare. Labda tungeiona nyumba hiyo kama ungeweka taswira zake hapa kama kweli mansion yenye kufikia kiwango hicho kabla hatujaanza kujipapasa mifukoni.
Mansion za mataifa tajiri zenye bei hiyo $ 1.5 Million Tukilinganisha gharama za mauzo ya nyumba na nchi tajiri za mataifa ya ulaya na marekani, utaona gharama ya nyumba kwa bei aliyotoa mdau ina nafasi ambayo mnunuzi atajisikia yuko na nafasi ya private, open area, free big land, na vivutio vingine licha ya nyumba yenyewe kuwa ghali kwa pesa hiyo.
Tutashukuru kama ataweka picha ambayo inaonyesha kiwango cha nyumba anayoiuza kwa $ 1.5 million tuweze kufanya ulinganifu na taswira za hapa chini ambazo ni nyumba zilizo katika mauzo kwa gharama ya $ 1.5 million katika mataifa tajiri ya Ulaya, Marekani na Canada.
hahahahah Candid Scope, huwa napenda sana comments zako na facts unazotoaga, jitu linakurupuka tu eti nyumba 1.5 mn usd, picha blanks maelezo na hadhi ya nyumba hakuna!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.