Nyumba inauzwa

Nyumba inauzwa

Kariba1

Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
75
Reaction score
4
Nyumba ya kisasa inauzwa, imekamilika yaani full [alminium, gypsum na tiles] ipo bunju ina garden, parking kubwa, vyumba 3 na master1 kubwa, studyroom, diningroom, sebule kubwa,jiko, public toilet, fensi na eneo kubwa la kujiachia, maji na umeme vipo bei yake ml 90 kwa anayehitaji contact 0714 107 215 au 0714 104 788
tafadhali piga usibeep
 

Attachments

  • IMG0021A.jpg
    IMG0021A.jpg
    13.2 KB · Views: 161
  • IMG0022A.jpg
    IMG0022A.jpg
    11.8 KB · Views: 130
Mkuu mbona picha imekaa upande?unatuumiza shingo!!!!
 
Umepiga picha kwa Wizi nini Manake Kama vile ulijificha
 
sorry kwa matatizo ya picha nitazirekebisha! kuhusu bei inapungua mpaka ml 85 ukipenda kuiona nitafute kwa namba 0714107215 au 071410488
 
ooh! no si kwa wizi maana nilitumia kamera ya simu na nikapiga picha kwa mlalo
 
Hahaha pple don't read hehehe

www.oric.co.tz, skype: alfred.kohi, 0784800989
ilifanywa edit mkuu... angalia time ya swali na time ya edit

kweli people dont read, ungesoma hizo timing za swali usingecheka. Time is also a very good indicator
 
ilifanywa edit mkuu... angalia time ya swali na time ya edit

kweli people dont read, ungesoma hizo timing za swali usingecheka. Time is also a very good indicator

Ooh poa Mzee Janjaweed, nimekusoma chief

founder of www.oric.co.tz, skype: alfred.kohi, 0784800989
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom