Nyumba hii ipo kigamboni mji mwema, ni umbali wa 4.5 km toka magogoni na umbali wa 3.5km toka daraja la kigamboni. Na nusu km kufika baharini.
Kwa maelezo ya kuona na mengine tuwasiliane 06571455.
Ina sifa zifuatazo
vyumba 3 vya kulala kimoja master
jiko , store na babu pamoja na choo cha nje.
umeme maji vipo karibu
sehemu ya kuweka Tank la maji ipo .
ikifika kiurahisi.
tuwasiliane.
Kwa maelezo ya kuona na mengine tuwasiliane 06571455.
Ina sifa zifuatazo
vyumba 3 vya kulala kimoja master
jiko , store na babu pamoja na choo cha nje.
umeme maji vipo karibu
sehemu ya kuweka Tank la maji ipo .
ikifika kiurahisi.
tuwasiliane.