Nyumba inauzwa(urgent)

Nyumba inauzwa(urgent)

Nimeitaman hii nyumba.basi tu bajeti yangu uchwara
 
Mkuu bora umeona hilo tuna watu wa ajabu sana nchi hii...hawajui mtu ana shida gani kwann kauza wao wanakuja na maneno ya ajabu kabisa halafu hata sio wanunuzi
Na ungekuta inauzwa mil.30 wangeanza tens kulalamika wangeanza lalamika oooooh apo akuna huduma za kijamiii ...Mara kiwanj na nyumb ni ndogoo daaah yaani watanzania wenzang nimeshindwa kuwaelewa
 
Chief nyumba hainunuliwi kama mboga sokoni unafanyika uchunguzi kwanza kujiridhisha baada ya hapo ndio mtu anaweza lipia suala la road reserves na mengineyo wachie wanunuzi wewe endelea kupiga ramli

Mkuu usipanic, Ila Hebu Jaribu kutukikishia pasi n'a shaka Kuwa Hilo eneo ni salama kwa mununuzi. Kuna njia nyingi tu za kuweza kumuridhisha mununuzi mtarajiwa bila panic. Anyway I'm sorry kama nimekukwaza, Ila kiufupi hizo ni challenge unazopaswa kuzijibu kwa utulivu mkuu ili n'a wengine wenye Wasiwasi uwatoke.
 
ayo maeneo yako safi tu nayafahamu kuwa na milima ndivyo kulivyo na ukiona mtu katoa kitu kama icho ujue katumia ela si kitoto

pale yake anaeuza
 
Hii pia uliweka wewe au mwingine mkuu


SQM 640 ukubwa wa kiwanja<br /><br />Nyumba nzuri sana mpya<br /><br />Bei 45 Million(maongezi yapo)<br /><br />Hapajapimwa<br /><br />Mwendo wa dakika 20 kufika eneo lenyewe<br /><br />Picha chini<br /><br />Contact 0622-027490
img_20180211_142501-jpg.694023
img_20180211_142430-jpg.694024
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom