Nyumba inauzwa(urgent)

Nyumba inauzwa(urgent)

bazoka

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
300
Reaction score
141
Mahali:Malamba Mawili lami mpya ya kinyerezi km 6 toka Morogoro Road

Ukubwa wa eneo ni sqm 400

Bei 15 Million(haipungui)

Nyumba mpya

Vyumba 3 moja master, sebule, dinning na public na chemba za maji machafu tayari.

Angalia picha chini

Piga simu 0622-027490

IMG_20180307_125715_577.jpg


IMG_20180307_125731_415.jpg
 
Mkuu, nimekosea kusoma au umemaanisha milioni kumi na tano(15,000,000) kweli?

Eneo lina shida yoyote labda, maji kutuama, bondeni, hakuna njia ya kuingia na gari, ardhini kuna maji(septic) kujaa maji n.k?
 
Duh milion 15?kuna kitu hakipo sawa tu
Kama kipi Chief?watu wanauza wana mambo yao sio suala la kusema kuna kitu hakipo sawa kama sio mnunuzi you better shut up your big mouth
 
Kama kipi Chief?watu wanauza wana mambo yao sio suala la kusema kuna kitu hakipo sawa kama sio mnunuzi you better shut up your big mouth
Scumbag, toa Maelezo ya kutosha,ina hati?,wewe Dalali au muhusika
 
Boss mbona simu haipatikani?Umeahiisha kuuza?au tayari imeuzwa?Imejengwa mwaka gani?kuna watu wanaishi hapo sasa hivi? wewe ni mmiliki,dalali au unamdai mwenye nyumba?Una mke au familia?Wewe mwenyewe unaishi hapo kwenye nyumba au unaishi sehemu nyingine?Tunaweza ingia mkataba wa malipo ambao utanipa muda wa kufanya uhakiki kidogo?Niambie PM
 
Boss mbona simu haipatikani?Umeahiisha kuuza?au tayari imeuzwa?Imejengwa mwaka gani?kuna watu wanaishi hapo sasa hivi? wewe ni mmiliki,dalali au unamdai mwenye nyumba?Una mke au familia?Wewe mwenyewe unaishi hapo kwenye nyumba au unaishi sehemu nyingine?Tunaweza ingia mkataba wa malipo ambao utanipa muda wa kufanya uhakiki kidogo?Niambie PM
Napatikana kaka au ni dm piga kwa 0622 027490
 
naweza nikaidalalia kwa njia zangu mwenyewe halafu ww ukala 15 M zako mwenyewe
 
Ubay moj watanzania kila kitu wanaping usez jua muuzaj ana tatizo gan limempata adi auze
 
Ubay moj watanzania kila kitu wanaping usez jua muuzaj ana tatizo gan limempata adi auze
Mkuu bora umeona hilo tuna watu wa ajabu sana nchi hii...hawajui mtu ana shida gani kwann kauza wao wanakuja na maneno ya ajabu kabisa halafu hata sio wanunuzi
 
kuna

Kuna uzi mwingine kaitangaza 20m. Kama siyo bondeni, basi ni hifadhi y'a barabara au kuna Tatizo
Kama hakukuwa na response ya wateja ulitakaje mkuu?acha mambo ya kike
 
Hii itakuwa kwenye rose réserve si bure, kwenu makini
Chief nyumba hainunuliwi kama mboga sokoni unafanyika uchunguzi kwanza kujiridhisha baada ya hapo ndio mtu anaweza lipia suala la road reserves na mengineyo wachie wanunuzi wewe endelea kupiga ramli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom