Nyumba inauzwa Ukonga, Magereza

Nyumba inauzwa Ukonga, Magereza

NAREI

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2017
Posts
1,730
Reaction score
1,665
Salaam,
Wanajukwaa;
Nyumba inapatikana ukonga, magereza (kichangani)
Taarifa kamili:
Nyumba ina vyumba vinne vya kulala na kimoja wapo ni Master bedroom.
Ina sebule, jiko, public toilet na store
Eneo la nyumba (kiwanja) sqm 420
Maji na umeme vyote vipi
Umbali kutoka njia kuu ya lami pugu road ni 600m
Ina leseni ya makazi (na urasimishaji ndio upo kwenye hatua za awali)
Bei: 50m (mazungumzo mezani)
More info: 0785 857564

IMG_20181105_171325.jpeg
IMG_20181105_171311.jpeg
IMG_20181105_170957.jpeg
IMG_20181105_171330.jpeg
IMG_20181105_171505.jpeg
IMG_20181105_171251.jpeg
IMG_20181105_171521.jpeg
 

Attachments

  • IMG_20181105_171325.jpeg
    IMG_20181105_171325.jpeg
    51.4 KB · Views: 20
Nipe hiyo 600.nanunua kiwanja cha 200 na 300 au 350 najenga ikulu ndogo .nalipa deni la Mahal bajaji 3 bodaboda 3 na akiba
 
[SUB]Hii itakuwa ilishabomolewa kupisha Ujenzi wa reli yastandard gauge[/SUB]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom