Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,061
- 281
Ipo Tabata Segerea. Ina vyumba vinne vya kulala, sebure kubwa, jiko. uwanja wake mita za mraba 1200.Ni nyumba ya kisasa. Ina maji na umeme. miundo mbinu yake safi. bei shilingi 100 MILIONI.
Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kupitia 0717114409 au 0755312233
Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kupitia 0717114409 au 0755312233