chumba unataka mitaa gan mkuu, picha simu yangu inasumbua kidogo kama una whats upp naweza kukurushia mkuuasante kwa tarifa mkuu, vp kuhusu chumba single room naweza pata maeneo karbu na a town, mm npo majengo.
Kaloleni, kijenge lkn yenye usalamachumba unataka mitaa gan mkuu, picha simu yangu inasumbua kidogo kama una whats upp naweza kukurushia mkuu
ina vyumba 3 vya kulala master, dinning, jiko sebule na stooungetuvutia basi angalau kidogo na kusema ina vyumba vingapi....kama kuna geti na ukuta....maji na umeme...
Ni bungalow au sio? Unaweza nitumia picha kwa e-mail?
njiro kontena kama mt 600 hivi toka kontaina lamidah 140? Bei sio mbaya njiro sehemu gani?