Nyumba inauzwa Mwanza

Nyumba inauzwa Mwanza

Uko dar uku bado viwanja vya milioni moja viko tele
Siwezi hafiki maeneo hayo unaweza kupata kiwanja chini ya mil 5.hiyo bei hiko chini sana nina wasiwasi sana na hiyo nyumba..inaweza kuwa kwenye migogoro..
 
Hiyo nyumba kuifikisha hapo si chini ya mil.60 inakuwaje mtu mtu akuuzie mil 35?kama sio kutafuta kwenda kufa kwenye jasho la mwenzio..
 
Ndio maana nikasema bei inashtua. .. kama ushajenga nyumba 35m haitoshi kujenga hiyo nyumba plus kiwanja. ..

Usifikir ukitaja bei ndogo Ndio unavutia wateja kumbe Ndio unatupa mashaka.
 
Sasa si bora ni jenge mpya tu kwa ramani ninayo itaka?
 
Ndio maana nikasema bei inashtua. .. kama ushajenga nyumba 35m haitoshi kujenga hiyo nyumba plus kiwanja. ..

Usifikir ukitaja bei ndogo Ndio unavutia wateja kumbe Ndio unatupa mashaka.
Hizi ni picha tu tatizo kubwa hapa eneo lake ni Dogo na pia finishing yake bado haijamalizika hakuna umeme wala maji bado kuna sehemu kubwa sana ya kumalizia angalau ungeiona ndio ungejua ukweli.kuhusu mgogoro hakuna kabisa
 
Siwezi hafiki maeneo hayo unaweza kupata kiwanja chini ya mil 5.hiyo bei hiko chini sana nina wasiwasi sana na hiyo nyumba..inaweza kuwa kwenye migogoro..
Biashara ya nyumba sio ya siku moja lazima uchukue siku ili uweze kuhakiki uhalali wa eneo,hapa utafanya uchunguzi ukiridhika tunafanya biashara..nakuhakikishia hakuna mgogoro wowote
 
Duh kweli hali ya sasa sio mchezo,bei nimeshusha mpaka milion 30 lakini bado mnataka nishushe zaidi kwa nyunba nzuri kiasi hiki,tafadhalini jamani hebu fikirieni kwa kina jamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom