Nyumba inauzwa Mwanza

Nyumba inauzwa Mwanza

Mwanza sales

Senior Member
Joined
Nov 17, 2015
Posts
193
Reaction score
87
Nyumba nzuri na ya kisasa ipo Mwanza ina vyumba 3 kimoja master,suttting 2 ,jiko ,dinning pamoja na public toilet.IPO igoma kishiri bei milioni 35 tu.
Kwa anaehitaji tuwasiliane kwa 0742159555

1475795903599.jpg
1475795919338.jpg
1475795930818.jpg
1475795942118.jpg
1475795952188.jpg
1475795973696.jpg
 
ngoja tajiri yangu aamke nitamshtua maana 35m kwake sio ttz
 
Kwa mtu aliyejenga nyumba ananielewa. ...kiwanja tu inaweza kuwa 10m
 
Mkuu hii ndiyo mmiliki wake alikuwa anafanya kazi MANTRACK akakopa na hela CRDB halafu akaachishwa kazi?

Mwenyekiti wa mtaa kwenye hiyo nyumba anaitwa nani? Nijulishe tafadhali
 
Mkuu we
Mkuu hii ndiyo mmiliki wake alikuwa anafanya kazi MANTRACK akakopa na hela CRDB halafu akaachishwa kazi?

Mwenyekiti wa mtaa kwenye hiyo nyumba anaitwa nani? Nijulishe tafadhali
mkuu wewe ni afisa mahusiano wa hiyo bank?
 
Mkuu hii ndiyo mmiliki wake alikuwa anafanya kazi MANTRACK akakopa na hela CRDB halafu akaachishwa kazi?

Mwenyekiti wa mtaa kwenye hiyo nyumba anaitwa nani? Nijulishe tafadhali
Hii nyumba IPO jirani na bustani ya mapapai Mwenyekiti ni mmoja tu yule wa kishiri center (kijana hivi mweupe) mrefu mwembamba
 
Pamepimwa/pana hati?
Vipi kuhusu kabla ya kuinunua angalau kutumia mwezi mmoja ili kujilidhisha na visivyo onekana. (sababu nyumba nyingi siku hizi zina mazingaombwe hasa usiku).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom