Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa iko mwanamtoti kata ya kijichi ili ufike kwa urahisi unashukia kituo cha mission Mbagala,INA vyumba vitano,master moja,INA sebule,jiko dining,bafu na choo ndani, ina gypsum,vioo madirisha yote,INA tiles, fence na geti, bei 75m inatizama Barbara ya mtaa ambayo inawekwa lami HV karibuni 0718252251 au 0769648110
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app