NYUMBA INAUZWA MBEZI.. Bei millioni tano

NYUMBA INAUZWA MBEZI.. Bei millioni tano

nsombocompany

Member
Joined
Dec 1, 2014
Posts
16
Reaction score
0
Nyumba ipo maeneo ya mbezi kanisani. Ni banda ambalo linauzwa kwa bei rahisi kabisa...
Wahi sasa ujipatia mjengo kwa bei ya kutupa...
 
Hata kuweka picha umeshindwa mkuu?! Sasa tutalielewa vipi hilo banda kwa namna lilivyo ili tuongee bei? Hebu kuwa wa kisasa bwana.
Ova
 
hivi mbezi kuna maeneo/nyumba za bei hiyo ya kutupwa...
 
labda kibanda cha kuuzia sigara na juice ndio kwake nyumba,
 
Hakuna utani sisi kazi zetu Ni kuuza nyumba na waliowahi kushuhudia wanaelewa
 
Mkuu Hii Ni kampuni ambayo ya uhakika. Kama Kweli unahitaji nitafute kwenye namba niliyoandika juu. Nicheki watsapp nikutumoe pic zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom