chwechinyong
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 223
- 105
Ipo maeneo ya town-magomeni mapipa. Njoo uiangalie ilivyo, tuzungumze na kukubaliana ili ifanyike biashara. Nyumba ipo katika eneo zuri la kibiashara, ni hatua chache tu toka barabara ya morogoro. Kwa maulizo au mawasiliano zaidi, niandikie kupitia muky4us@gmail.com