Nyumba inauzwa, Magomeni Mwembechai

Nyumba inauzwa, Magomeni Mwembechai

issam

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
250
Reaction score
23
IMG-20150225-WA0000.jpg

[h=1]Nyumba Inauzwa, magomeni mwembe chai wahi kabla haijanunuliwa[/h]
[h=5]Price: TZS 600,000,000 ( Millioni mia sita ) Negotiable: Yes[/h]
Nyumba Nzuri sana ina tiles na kila kitu, Ina Vyumba 8, jiko 2, Public toilet 3 na master bedroom 2. Nyumba ni kali sana na iko eneo nzuri Magomeni mwembechai. Hakuna mafuriko wala maporomoko. Ukishainunua we ni kuhamia tu. Nyumba ina umeme na maji na iko mtaa mzuri sana. Kama unahitaji Unaweza piga simu number iliyoko chini hapo kwenda kuiangalia, maongezi yapo.​
CONTACT: 0656868888 ULIZA SELE​
Wahi kabla haijanunuliwa.​
 
Mkuu ungeweka na picha za nje tuone mazingira yanayoizunguka nyumba kabla ya kuja kuiona
 
Unauza vifaa vya sebuleni au nyumba?
 
Ukitaka Kupata details zaidi piga hio simu hapo, utapata picha zaidi kwenye whatsapp na kila kitu
 
View attachment 238165

Nyumba Inauzwa, magomeni mwembe chai wahi kabla haijanunuliwa


Price: TZS 600,000,000 ( Millioni mia sita ) Negotiable: Yes

Nyumba Nzuri sana ina tiles na kila kitu, Ina Vyumba 8, jiko 2, Public toilet 3 na master bedroom 2. Nyumba ni kali sana na iko eneo nzuri Magomeni mwembechai. Hakuna mafuriko wala maporomoko. Ukishainunua we ni kuhamia tu. Nyumba ina umeme na maji na iko mtaa mzuri sana. Kama unahitaji Unaweza piga simu number iliyoko chini hapo kwenda kuiangalia, maongezi yapo.​
CONTACT: 0656868888 ULIZA SELE​
Wahi kabla haijanunuliwa.​

Uwawekee Pia Na Gharama Ya Kuizindika Hiyo Nyumba Kwani Hakuna Asiyeijua Migomigo Kwa Kuwa Na Wazee Wengi Wa " Busara " a.k.a Uchawi!
 
Size ya kiwanja? Kimepimwa? Ipo Mwembe chai wapi? Itumbi,Sheikh yahya,majungu place?
 
Milioni 600 sio bei realistic may be EPA imerudi sababu iliharibu our real property market.
 
Alikua serious anifate chemba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom