Mkuu ungeweka picha ingekuwa safi sanaa....na eneo la kiwanja ni ukubwa gani? na nyumba ipo kitunda ipi?Nyumba ipo kitunda mil 32 ina vyumba 3 masta1 choo cha ndani dinin n seting room jiko,store na nje kuna choo cha nje haina dalali nicheki 0717184353
Mkuu, ni kitunda ipi? Relini, shule, machimbo, mwanagati, kivule ama...?
Nyumba ipo kitunda mil 32 ina vyumba 3 masta1 choo cha ndani dinin n seting room jiko,store na nje kuna choo cha nje haina dalali nicheki 0717184353