Nyumba inauzwa ipo Tabata

Yumbayumba

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2012
Posts
1,240
Reaction score
850
Nyumba inauzwa ipo tabata baracuda
~Ina vyumba vitatu kimoja ni master
~Sebule
~Store
~Jiko
Bei mil 75

Nb; Nyumba ni mpya
 
Tenda haki kwa kutuonyesha na ndani pia ni vizuri ukitaja na ukubwa wa eneo, biashara ni ubunifu,
Picha za ndani nitaweka,
Mm sio muandishi mzuri ila lengo limeeleweka nadhani kama mtu yupo serious atataka kuja kuiona sio kudai picha
 
Sasa tutaionaje bila kupata mawasiliano yako,hebu nicheck kwenye namba hii Mimi nataka kuja kuiona 0769784640
 
mkuu ingekua vizur ungeweka details za kutosha kama eneo ni sqm ngapi na pia kiwanja kimepimwa au hakijapimwa ili wateja wafahamu.
 
Sasa tutaionaje bila kupata mawasiliano yako,hebu nicheck kwenye namba hii Mimi nataka kuja kuiona 0769784640
Sawa mkuu nitakuchek, namba nilitaka kutoa pm kwa mtu aliyekuwa serious
 
Picha za ndani nitaweka,
Mm sio muandishi mzuri ila lengo limeeleweka nadhani kama mtu yupo serious atataka kuja kuiona sio kudai picha
Mkuu sinabkengo la kuleta League kama nimekosea kukushauri nisamehe ila acha hiyo tabia mtu anweza kuhitaji ila ushawishi wako ukawa mdogo, haya biashara njema.
 
Mkuu sinabkengo la kuleta League kama nimekosea kukushauri nisamehe ila acha hiyo tabia mtu anweza kuhitaji ila ushawishi wako ukawa mdogo, haya biashara njema.
Kwanza kabisa nimesema picha nitaweka, pili nikasema mm sio muandishi mzuri kwahiyo siwezi kuandika hadi nikamshawishi mtu ila ushauri wako ni mzuri
Pia nikasema kwa mtu ambaye anahitaji kuiona nitampa namba zangu aje tabata baracuda kuiona
Samahani kama nimekukera
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…