Yumbayumba
JF-Expert Member
- May 31, 2012
- 1,240
- 850
Sio picha tu mkuu ukitaka unaweza kuja kuiona wewe mwenyewe karibu sana tabatambona kwa njee ru tunataka picha za ndani pia
Picha za ndani zikwapi?
Picha za ndani nitaweka,Tenda haki kwa kutuonyesha na ndani pia ni vizuri ukitaja na ukubwa wa eneo, biashara ni ubunifu,
Ndio, kama unayo karibu sana mkuuMilioni 75 ya madafu au ya JPM!?
Bila shaka mkuuKwa size ya eneo kweli VItz inaweza kupaki ndani humo?
Sawa mkuu nitakuchek, namba nilitaka kutoa pm kwa mtu aliyekuwa seriousSasa tutaionaje bila kupata mawasiliano yako,hebu nicheck kwenye namba hii Mimi nataka kuja kuiona 0769784640
Gari tatu mkuu zinaingia ndani kwa pamojaKwa size ya eneo kweli VItz inaweza kupaki ndani humo?
Mkuu sinabkengo la kuleta League kama nimekosea kukushauri nisamehe ila acha hiyo tabia mtu anweza kuhitaji ila ushawishi wako ukawa mdogo, haya biashara njema.Picha za ndani nitaweka,
Mm sio muandishi mzuri ila lengo limeeleweka nadhani kama mtu yupo serious atataka kuja kuiona sio kudai picha
Kwanza kabisa nimesema picha nitaweka, pili nikasema mm sio muandishi mzuri kwahiyo siwezi kuandika hadi nikamshawishi mtu ila ushauri wako ni mzuriMkuu sinabkengo la kuleta League kama nimekosea kukushauri nisamehe ila acha hiyo tabia mtu anweza kuhitaji ila ushawishi wako ukawa mdogo, haya biashara njema.