Nyumba inauzwa ipo kinondoni B

Nyumba inauzwa ipo kinondoni B

Joined
Feb 20, 2015
Posts
31
Reaction score
15
NYUMBA inauzwa ipo kinondoni B nyuma ya mahakama mtaa wa msisiri milioni 70.Maelewano yapo ina vyumba vitatu ndani na sebule na inamabanda ya uwani.Haina hati ila inakibali cha serikali za mitaa na inalipiwa kodi ya jengo kila mwaka. NB:Haina dalali
kwa mawasiliano 0673748445 au 0786062826[IM
1474882872117.jpg
G][/IM
1474882886087.jpg
G]
 
Ila ukweli watanzania tupo nyuma sn kimaendeleo kwan tuna ishi sehem kubwa ya makaxi yetu sio Rasmi hasa( Dar es salaam)

Hebu tizama hii nyumba ipo kndon B inauzwa milio 70 hapo ni sawa kama $33000 kweli ?

Mnaitaji elimu ya uwekezaji ulio salama. na HASA DAR ES SALAAM .
 
Ila ukweli watanzania tupo nyuma sn kimaendeleo kwan tuna ishi sehem kubwa ya makaxi yetu sio Rasmi hasa( Dar es salaam)

Hebu tizama hii nyumba ipo kndon B inauzwa milio 70 hapo ni sawa kama $33000 kweli ?

Mnaitaji elimu ya uwekezaji ulio salama. na HASA DAR ES SALAAM .
Vipato vipo tofauti ukishindwa wewe ujue wengine wanaweza so sijahitaji mtu kufungua darasa hapa please kaa pembeni kama kitu hakikuhusu
 
Ila ukweli watanzania tupo nyuma sn kimaendeleo kwan tuna ishi sehem kubwa ya makaxi yetu sio Rasmi hasa( Dar es salaam)

Hebu tizama hii nyumba ipo kndon B inauzwa milio 70 hapo ni sawa kama $33000 kweli ?

Mnaitaji elimu ya uwekezaji ulio salama. na HASA DAR ES SALAAM .
anauza nyumba au kiwanja?
 
Inawezekana kabisa madalali wanamdanganya. Hapo kikubwa unanunua kiwanja. Bado hatujui kama maeneo ni salama vipi na yamekaa kibiashara vipi na mengineyo mengi.
 
hiyo itakuwa ni nyumba ya urithi,maana hiyo bei ni kubwa sana kwa nyumba hiyo
 
HV hii sio iliokuwa kwa juu ya bonde mbona niliambiwa milioni 15 ishapanda Mara moja hii
 
Magomeni mtu ana nunua nyumba mln 200 Kama kiwanja na anaipiga mtama nyumba yote chini......na anaotesha uyoga...
 
Bora hata wewe umenisaidia kuongea maana wengine sijui wametoka bush
Teh Teh.....Kuna jamaa namjua alununua nyumba kinondoni opposite n'a Togo tower Kama mln 200....Baada ya muda akaipiga mtama yote.....
Obay na masaki hivyohivyoooo....bilion hela ya kiwanja mtu anaona

Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom