Nyumba inauzwa, iko magomeni mikumi, mtaa wa Ifunda, ukubwa wa kiwanja chenye hiyo nyumba, Mita za Mraba 484, na kina Hati. kwa anayehitaji tuma PM
weka picha na bei hapa
dalali mwoga, anaogopa akiweka picha na bei watu wataijua nyumba na kumfuata mwenye nyumba direct!
Nyumba inauzwa, iko magomeni mikumi, mtaa wa Ifunda, ukubwa wa kiwanja chenye hiyo nyumba, Mita za Mraba 484, na kina Hati. kwa anayehitaji tuma PM