Nyumba inauzwa Chanika 15m

Nyumba inauzwa Chanika 15m

Madihani

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
6,326
Reaction score
7,529
Deleted
 

Attachments

  • Pnz.jpg
    Pnz.jpg
    75.4 KB · Views: 458
  • Pnzw.jpg
    Pnzw.jpg
    84.2 KB · Views: 461
  • Pnzwa.jpg
    Pnzwa.jpg
    87.8 KB · Views: 434
Duh,umsakini mbaya,aisee hata kama vyumba viwili lakini bei rahisi.
Sema nakushauri ungeweka pia ukubwa wa kiwanja chake ili iwe rahisi mtu kujua kama akitaka kuitanua inakuwaje.
Maana hapo naona umeme upo mlangoni
 
Hilo ni bomba la shimo la choo(karo)hakuna nguzo ya umeme hapo,kiwanja ni kidogo ili kujenga nyumba nyingine inategemeana na plani ya anayehitaji kununua
 
Duh,umsakini mbaya,aisee hata kama vyumba viwili lakini bei rahisi.
Sema nakushauri ungeweka pia ukubwa wa kiwanja chake ili iwe rahisi mtu kujua kama akitaka kuitanua inakuwaje.
Maana hapo naona umeme upo mlangoni

Kweli umaskini mbaya anauza kwasababu ya shida ya pesa,ukinunua unahamia kila kitu tayari,bado umeme tu
 
Ukubwa wa kiwanja tafadhali

Ukubwa wa kiwanja ni mita 15 kwa 18 ila upande wa nyuma ya nyumba kuna eneo liko wazi na mwenye kiwanja anaweza kuuza kwa bei nafuu
 
Nyumba bado ipo karibuni wenye kuhitaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom