Nyumba inauzwa Chang'ombe Dodoma mjini

Nyumba inauzwa Chang'ombe Dodoma mjini

Good Neighbour

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2017
Posts
942
Reaction score
898
1.Nyumba iko Chang'ombe(hamvu) Dodoma mjini
2.Ina hati na imepimwa(square metre 355)
3.Iko block A,plot namba 31
4.Ina maji na umeme
5.Gari inafika mpaka nyumbani kabisa(barabara ni kubwa na nzuri)
6.Iko kwenye mtaa wenye mandhari nzuri,tulivu na unaojengeka kisasa(picha zitaonyesha zaidi)
7.Bei yake ni milioni 28 (28000000) pungufu tunaongea
8.Mawasiliano 0767833496
9.Kwenye picha nyumba husika ina watu wamekaa/simama karibu yake

Karibuni sana
8d57e416e8bc478d6bfbe7f11153c09e.jpg
59a218f197f38edbb0049c9482195ee7.jpg
2936d21ceaf508183bb8a6787884a2b8.jpg
71b81a01008cb04bdf98bec60c976b2f.jpg
3c1c06ad829fe39544606dbe942565b5.jpg
140edc2e2c8f088da39e1b7253d73072.jpg
fbdb6db79268232b827b43df397b03cd.jpg
 
Kama wasomi wetu ndio wanatupangia hivyo miji, tena mji mkuu wa nchi, kama inavyoeneshwa kwenye ramani, basi elimu yetu iko mochwari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom