Nyumba inauzwa bei ya mteremko.

[
 

Attachments

  • IMG_20161021_105229.jpg
    IMG_20161021_105229.jpg
    70 KB · Views: 153
  • IMG_20161021_105216.jpg
    IMG_20161021_105216.jpg
    91.3 KB · Views: 166
Wewe umesema nyumba ndgu, Mbona naona nyumba ambayo haikjamaliziwa.
Mkuu kwa ndani iko katika hali nzuri na kuna watu wanaishi ikiwa na mioango ya kisasa kwa ndani. Ni plaster ya nje tu na plaster ya sebule ndio bado.

Pia kuanzia hilo boma hapo, kajumba kaudongo hako, na hiyo kubwa ya kwenye background vyote vinajumuishwa kwa bei moja tajwa hapo juu.
 
Nyumba iliyoko Mwanza karibu kabisa na ofisi za mkuu wa wilaya ya Ilemela maeneo ya Buswelu.

Ina vyumba vitatu, kimoja master bedroom, ina huge dinning and living room, public toilet, e.t.c ina boma lingine la chumba na sebule kwa ajili ya wapangaji na eneo lingine kubwa kwa ajili ya kujenga vyumba vya wapangaji.

Barabara mpaka mlangoni, umeme na maji vipo jirani kabisa.

Bei ya awali ilikuwa mil 35 ila kwa sasa imepungua mpaka mil 25.

Karibuni!
Asante ndugu ila kampuni yetu imejikita zaidi Dodoma.
 
...teh hee hee.,ndo hii ulokuwa unabrag unamjengea bimdashi??
Teh teh! Kwa kikwete nilivuna nyumba moja na hili pagala lisiloisha kwenye awamu hii ya anko.

Bi mdashi tumemjengea hapa near by lake Victoria in coast view apartment utadhani yuko Rancho Cucamonga pale Miami...sisters and brothers ndo walikuwa wahisani wakuu wa mjengo mzima, Mimi nlikuwa mini sponsor tu.

Hence, she is cool and proud of us! Thus I'm flaunting and braggin.
 
Teh teh! Kwa kikwete nilivuna nyumba moja na hili pagala lisiloisha kwenye awamu hii ya anko.

Bi mdashi tumemjengea hapa near by lake Victoria in coast view apartment utadhani yuko Rancho Cucamonga pale Miami...sisters and brothers ndo walikuwa wahisani wakuu wa mjengo mzima, Mimi nlikuwa mini sponsor tu.

Hence, she is cool and proud of us! Thus I'm flaunting and braggin.
...ha ha ha..dadeki!
 
Mkuu nafikiri unapaswa kutoa details za kina ikiwa ni pamoja na picha zilizo clear na kuonyesha kila kitu hapo, details ni pamoja na hati, Ardhi imepimwa? upimaji upi? ukubwa wa eneo, maji, umeme, etc!! hizo picha chache hazitoshelezi. Details zinachangia kumshawishi mteja hasa ambaye si mwenyeji wa mwanza au sehemu hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom