kamal Naseeb
Member
- Jul 31, 2015
- 54
- 22
Nyumba inauzwa 60m iko mbagala chamazi, ina vyumba vitatu kimoja master, dining, Jiko,store, choo, sebule, eneo la parking full fenced pia Ina Hati miliki etc.
Nyumba inauzwa 60m iko mbagala chamazi, ina vyumba vitatu kimoja master, dining, Jiko,store, choo, sebule, eneo la parking full fenced pia Ina Hati miliki etc.
0656928075Namba ya simu?
Ipo chamazi magengeni, ni ya mtu ndio,imejengwa kwaajili ya makaziMkuu hii nyumba ipo Chamazi sehemu gani na pia ni ya mtu tuu aliijenga kwa ajili ya makazi yake ndio akaamua kuiuza au ni zile za Jenga Uza?
Nyumba inauzwa 60m iko mbagala chamazi, ina vyumba vitatu kimoja master, dining, Jiko,store, choo, sebule, eneo la parking full fenced pia Ina Hati miliki etc.
Hii ndo kwanza naiskia kwako, Goba sehem gan tushilikiane kuitafuta nyumba ya platnumz maana sipo mbalinyumba ya diamond hiyo ipo goba. .. mtoa post ni tapeli mpuuzieni
Picha za ndani sina, ukubwa wa kiwanja sqm 20×40Tupia picha za ndani na kuzunguka eneo zima, ukubwa wa kiwanja na nyumba yenyewe.
Picha za ndani sina, ukubwa wa kiwanja sqm 20×40
Mkuu unataka kutuingiza mkenge haya haya bana, hata ndani huwezi ingia sasa hata wakati wa kuuza situtafanya nje yA nyumba kwa hali hiiPicha za ndani sina, ukubwa wa kiwanja sqm 20×40