Ni kweli mkuu,tayari kuna watu wawili ambao wameonyesha niaNyumba nzuri na bei nzuri pia... Wenye uhitaji wakweli watakuja
Kivule msimu wa mvua huu ni shida unaweza ona imezungukwa na maji,by the way nataka chumba kimoja,Maeneo ya Banana,Stakishari,Kitunda,Kivule Matembele bajeti isizidi elfu 35Jamani natafuta watu 3 tuungane tukapange hiyo nyumba.
Mkandarasi wa hiyo Barabara ni mpuuzi kabisa.Halafu daladala za kivule ni ghaliBarabara hiyo inapigwa lami mkuu, mkandarasi yupo kazini,ndani ya miezi michache itakuwa imekamilika.
Shukrani kwa kunifumbua macho! Ngoja nibaki huku huku ChanikaKivule msimu wa mvua huu ni shida unaweza ona imezungukwa na maji,by the way nataka chumba kimoja,Maeneo ya Banana,Stakishari,Kitunda,Kivule Matembele bajeti isizidi elfu 35
Kwani kuogelea hujui mama!?Shukrani kwa kunifumbua macho! Ngoja nibaki huku huku Chanika

Siwezi aisee...Kwani kuogelea hujui mama!?![]()
unaweza weka maelezo ya hiyo nyumba tafadhali.Njoo YOMBO nyumba safi kwa kilo 1.5 tu na ufunguo wa geti unapewa
Imepata mpangaji ngoja niulizie kama ntapata nzuri kama hiyo ntakujuza,ila zipo kibaounaweza weka maelezo ya hiyo nyumba tafadhali.