Nyumba inapangiswa Kivule - Matembele

Nyumba inapangiswa Kivule - Matembele

Mushashamuga

Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
5
Reaction score
4
Nyumba ya kisasa yenye room nne za kulala(pamoja na master) ipo ndani ya fence ikiwa na huduma zote muhimu kama Umeme na Maji inapangishawa,ipo maeneo ya Matembele ya pili kivule mita 200 kutoka barabara kuu ya banana kivule inayopigwa lami.kodi ni 250,000 kwa mwezi. Mawasilino piga namba 0754925697 au ni PM.
98cc369afede864f0f66a2e92efb5a6c.jpg
a6dfa6e6d65cbc105f302288def840dd.jpg
75c12148c07e595bf91ba23fa5268a91.jpg
f1c624a7334e587f361d0ea841300d1f.jpg
 
Nyumba ya kisasa yenye room nne za kulala(pamoja na master) ipo ndani ya fence ikiwa na huduma zote muhimu kama Umeme na Maji inapangishawa,ipo maeneo ya Matembele ya pili kivule mita 200 kutoka barabara kuu ya banana kivule inayopigwa lami.kodi ni 250,000 kwa mwezi. Mawasilino piga namba 0754925697 au ni PM.
98cc369afede864f0f66a2e92efb5a6c.jpg
a6dfa6e6d65cbc105f302288def840dd.jpg
75c12148c07e595bf91ba23fa5268a91.jpg
f1c624a7334e587f361d0ea841300d1f.jpg
 
Nyumba ndogo namna hiyo vyumba vinne vepee? Hivyo vyumba vitakuwa vidogo kama banda la njiwa I bet!
 
BARABARA YA VUMBI.. HYO 250, UNAPATA APARTMENT TENA MUJINI.. NA KUMINIMIZE COST YA USAFIRI.
 
Jamani natafuta watu 3 tuungane tukapange hiyo nyumba.
 
Njoo YOMBO nyumba safi kwa kilo 1.5 tu na ufunguo wa geti unapewa
 
Nyumba ndogo namna hiyo vyumba vinne vepee? Hivyo vyumba vitakuwa vidogo kama banda la njiwa I bet!
Nyumba sio ndogo hiyo mkuu,hapo umeona picha ya upande mmoja tu wa Nyumba,kama unahitaji ni PM nikurushie picha zaidi na ikiwekana upata nafasi ya kuja kuikagua.
 
Nyumba sio ndogo hiyo mkuu,hapo umeona picha ya upande mmoja tu wa Nyumba,kama unahitaji ni PM nikurushie picha zaidi na ikiwekana upata nafasi ya kuja kuikagua.
Weka picha zote humu watu wang'amue, umetangaza public halafu maelezo yawe mafichoni!!
 
Toka huko tukapange wote kivule bwana... Mimi, wewe, Demiss na HB wa Kigogo
Mjini tunaishi kijanja bana, kikubwa ukipata sehemu ya kuegesha mambo yanakuwa poa tu.
 
Mjini tunaishi kijanja bana, kikubwa ukipata sehemu ya kuegesha mambo yanakuwa poa tu.
Haya bwana, kwa kuwa mimi sina huo ujanja wa kimjini ngoja niendelee kutafuta wenzangu wakupanga nao hiyo nyumba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom