mwananyiha
JF-Expert Member
- Mar 11, 2008
- 248
- 43
Ipo Salasala/Kilimahewa.Ina vyumba vitatu vya kulala, sebule kubwa, dining, stoo, vyoo viwili. Maji ya uhakika na kuna reserve tank ya lita 2000. Kwa mwezi 350,000 maelewano yapo kwani nyumba ni yangu. Mawasiliano ni 0712232849