NYUMBA INAPANGISHWA ( Ubungo External)

NYUMBA INAPANGISHWA ( Ubungo External)

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,481
Reaction score
8,592
Heshima kwenu wote..

Husika na kichwa cha habari hapo juu,, nyumba ya familia inapangishwa kuanzia february 1 2013..

Nyumba ina vyumba vinne vya kulala kimoja master bedrum,,

Ina umeme ( luku) na maji

Ina fensi na gate nafasi ya kupaki gari 2 ndogo na ina Tiles

Bei ni laki 3 na nusu kwa mwezi kodi miezi 6

Nyumba ipo ubungo external nyuma ya ukuta wa Export processing Zone

Aliye interested anicheki pm au kwenye "shaurimbaya @ gmail.com

NOTE : BEI HAISHUKI KAMA IPO NJE YA BUDGET YAKO USIJIPE SHIDA KUANGALIA
 
Fanya laki 2 nije leo leo nicheki ntakulipa nikiona ni sawa na maelezo yako.....
 
Fanya laki 2 nije leo leo nicheki ntakulipa nikiona ni sawa na maelezo yako.....

We nenda pm kama una nia.. Bei ni laki 3 na nusu haishuki huwa inapangishwa laki 3 kamili mwaka jana bila tiles..na gharama za ukarabati zilizofanywa hiyo bei ni ndogo sana ukilinganisha na market price ya eneo husika.

Ilikuwa na mkataba na chuo udsm kupangishiwa lectures wake ndo umeisha na chuo imejitoa katika utaratibu wa kupangishia walimu wao maana wanawapa house allowance kwenye mishahara.. Na lecture aliyokuwepo ameamua kuhamishia familia yake kwenye nyumba yake binafsi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom