Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,875
- 5,270
Habari wandugu
Nyumba inapangishwa iko maeneo ya Msasani karibu na Zara Tours. Nyumba iko sehemu nzuri sana, ina vyumba vitatu kimoja master, public toilet ya ndani, dining , jiko na sitting room kubwa. Tiles, jipsum , maji ya bomba yameunganishwa hadi ndani. Nyumba iko ndani ya fensi na ina geti. Kuna nyumba bili kwenye compound moja Bei ni laki tatu (300,000/-) . Nyumba ni ya dada yangu hakuna dalali . Kwa mawasiliano piga namba 0714078881, 0715462994 .
m
Nyumba inapangishwa iko maeneo ya Msasani karibu na Zara Tours. Nyumba iko sehemu nzuri sana, ina vyumba vitatu kimoja master, public toilet ya ndani, dining , jiko na sitting room kubwa. Tiles, jipsum , maji ya bomba yameunganishwa hadi ndani. Nyumba iko ndani ya fensi na ina geti. Kuna nyumba bili kwenye compound moja Bei ni laki tatu (300,000/-) . Nyumba ni ya dada yangu hakuna dalali . Kwa mawasiliano piga namba 0714078881, 0715462994 .
m