Nyumba inapangishwa maeneo ya Tegeta Nyaishozi

Nyumba inapangishwa maeneo ya Tegeta Nyaishozi

Joined
Oct 12, 2014
Posts
78
Reaction score
48
Habarini,

Nyumba inapangishwa maeneo ya Tegeta Nyaishozi na ina tiles, vyumba vitatu na Master bedroom. Umeme na maji vipo na vyote ni vya uhakika na imezungushiwa ukuta na ina geti. Eneo la nyumba linaruhusu kupaki gari zaidi ya moja na kuna servant quarter ambayo unaweza kutumia kama chumba cha wageni au stoo.

Umbali toka Nyaishozi kituo cha basi mpaka kwenye nyumba ni approximately 1 Kilomita

Kodi ni T.Shs. 550,000 kwa mwezi na tunapokea kodi ya miezi 6 au mwaka mzima

Ahsante
 
Hili tangazo mkuu umefail sana kutoweka picha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom