kingkong shoulder
Member
- Sep 18, 2020
- 55
- 40
Ipo Kinyerezi Mbuyuni ina vyumba viwili vya kulala, kimoja ni master, jiko, sitting room, ipo ndani ya fensi, maji yapo, kodi ni 250000, karibuni sana, mawasiliano 0782239344
ipo ya laki thelathini mkuu chumba sebule iko poa tulaki moja na nusu mwezi mmoja mmmoja chukua nihamie
Mkuu usinidalalie hivyo mi nataka hiyoipo ya laki thelathini mkuu chumba sebule iko poa tu
Weka picha na hiyo tuione.ipo ya laki thelathini mkuu chumba sebule iko poa tu
mkuu hiyo itakuwa ngumu kupata, kwa bei hiyoMkuu usinidalalie hivyo mi nataka hiyo