Kumbe Mwanza ni mji wenye maisha rahisi sana, Nyumba ina geti, fence, vyumba vya kumwaga, umeme, maji, tiles, madirisha ya alluminium, parking na rangi kwa bei ya 250,00 kwa mwezi ???
Sasa huko chumba uswahilini si itakua sh 10,000 tu.
Nahamia Mwanza