Nyumba inapangishwa 250,000

Nyumba inapangishwa 250,000

onyx

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2016
Posts
1,587
Reaction score
1,317
Wakuu,

Rejea kichwa cha habari hapo juu. Nyumba ipo msakuzi njia ya kwenda mpigi magohe.Vyumba 3, kimoja master, jiko, sebule, dinining, public toilet.



Mnakaribishwa kujionea
 
Weka details a kutosha
1. Nyumba ipo wapi? Kuna umbali gani mpaka barabara kuu?
2. Unapokea kwa miezi mingapi-mingap?
3. Mawasiliano yako/yake.

Ninakusaidia tu mimi sihitaji.
 
Weka details a kutosha
1. Nyumba ipo wapi? Kuna umbali gani mpaka barabara kuu?
2. Unapokea kwa miezi mingapi-mingap?
3. Mawasiliano yako/yake.

Ninakusaidia tu mimi sihitaji.
Mkuu umbali sijajua bado,ntafatilia, miezi ni makubaliano, mtu akiwa tayari kuicheki anipm
 
Wakuu Nyumba bado IPO mnakaribishwa kuiangalia
 
Usawa mgumu laki na nusu nikuunganishe na muhitaji
 
Mi ni dalali nipe hiyo kazi nikutangazie ila nahitaji maelezo madogo kuhusu hiyo nyumba pamoja na picha

simu namba +255 718295182

Bango
 
Mi ni dalali nipe hiyo kazi nikutangazie ila nahitaji maelezo madogo kuhusu hiyo nyumba pamoja na picha

simu namba +255 718295182

Bango
Kiongoz mm ni fundi wa Mapazia na sofa, tupange kuhusu hiyo ya kutangaza kuweka bango. 0785462949
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom