Nyumba inahitajika Dar es salaam

Nyumba inahitajika Dar es salaam

Hosee Miguel

Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
59
Reaction score
38
Wakuu salaam kwenu!

Nahitaji nyumba ya kupanga kwa kipindi cha mwaka mmoja jijini Dar iwe maeneo ya Sinza, Savei, Mwenge na au Ubungo!

Iwe na vyumba vitatu au viwili. Ikiwa inajitegemea ni vizuri zaidi! Mkataba wa upangaji uanze tarehe 1/1/2019 lakini tunaweza kukubaliana malipo yakafanyika kabla. Terms iwe miezi mitatu au sita!

Bajeti isizidi Shilingi 350,000/=kwa mwezi ikiwa exclusive 400,000/=kwa 3 bedroom!

Natanguliza shukraji za dhati kwenu nyote wadau!
PM for any feedback!!!
 
Wakuu salaam kwenu!

Nahitaji nyumba ya kupanga kwa kipindi cha mwaka mmoja jijini Dar iwe maeneo ya Sinza, Savei, Mwenge na au Ubungo!

Iwe na vyumba vitatu au viwili. Ikiwa inajitegemea ni vizuri zaidi! Mkataba wa upangaji uanze tarehe 1/1/2019 lakini tunaweza kukubaliana malipo yakafanyika kabla. Terms iwe miezi mitatu au sita!

Bajeti isizidi Shilingi 350,000/=kwa mwezi ikiwa exclusive 400,000/=kwa 3 bedroom!

Natanguliza shukraji za dhati kwenu nyote wadau!
PM for any feedback!!!

3 bedroom At sinza Mori,450,000 TZS
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom