Nyumba chakavu zinauzwa .

Nyumba chakavu zinauzwa .

Akiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,445
Reaction score
217
Nina nyumba chakavu katika maeneo yafuatayo.

kinondoni shamba , kuna nyumba 3 kati ya hizo ni moja 2 ambayo gari inafika nyumba hii ni ndefu ina ukubwa wa 30m X 14m, bei yake ni 35m mazungumzo yapo. hizi zingine 2 zina nyumba zenye vyumba 4 kila moja , umeme na maji na gari zinaishia mtaa wa pili na bei ni 40m kwa kila moja .

kinondoni mascow kuna nyumba ya vyumba 4 gari inafika , umeme ulikatwa , bei 22m, nyingine ipo kinondoni mkwajuni jirani na katumba bar ina umeme na kiwanja kina title deed ina vyumba 4 na eneo kidog la kutosha gari 2 inauzwa 80m

nyingine ipo temeke ina vyumba 5 , pale keko tololi ni ya makuti gari haifiki, inauzwa 35

kwa anayehitaji kuziona 0657 14555, na 0755 099 291
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom