Nyumba 3 - Bedrooms inapangishwa 250,000/=

Nyumba 3 - Bedrooms inapangishwa 250,000/=

MachoMakavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2008
Posts
367
Reaction score
44
Nyumba nimeilipia mwaka mzima, kodi inaisha November this year. Natafuta mtu wa kunirudishia miezi ilobaki. Natarajia kuhama end of March.

Details:

-- 3 Bedrooms, choo, bafu na jiko.
-- Iko ndani ya fense. Kuna nyumba nyingine moja ndani ya the same fense. Kuna ua unaoweza kulaza magari sita.
-- Kodi kwa mwezi 250,000/=
-- Eneo: River Side

If interested, ni PM. Mwenye nyumba yuko poa na hii arrangement.
 
Nipe namba yako plzz nikucheck!nyumba ina tatizo lolote???
 
Nyumba nimeilipia mwaka mzima, kodi inaisha November this year. Natafuta mtu wa kunirudishia miezi ilobaki. Natarajia kuhama end of March.

Details:

-- 3 Bedrooms, choo, bafu na jiko.
-- Iko ndani ya fense. Kuna nyumba nyingine moja ndani ya the same fense. Kuna ua unaoweza kulaza magari sita.
-- Kodi kwa mwezi 250,000/=
-- Eneo: River Side

If interested, ni PM. Mwenye nyumba yuko poa na hii arrangement.

Jikoni kuna sink la kuoshea vyombo na bomba linatoa maji ? kuna chumba chochote ni master kati ya hizo 3?
 
Back
Top Bottom