Nyongeza ya mishahara 2015

Serikali yenu sikivu imewaongezea kati ya elfu 30 hadi 50. nimetumia uzoefu wangu wa miaka kumi katika utumish
 

kweli mkuu!,hapo umenena sawasawa.
 
Unashangaa.. wakati watu wamejenga Gorofa na kununua Vogue na huo mshahara ndani ya miaka mitano...
Hapo ndo uone miujiza ya Musa kuvuka juu ya Bahari..

Duh!,wanawezaje mkuu?au ndo mafisadi wadogo?,Hebu tupe maujanja hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…