Nyimbo zetu: Maprosoo

fakhbros

JF-Expert Member
Sep 14, 2013
338
550
c14b2c05cefaaa3be97168801eea0217.jpg

Wimbo ulikuwa ukiimbwa hivi-
Mwenzenu mie najuta"
Nilikuwa na Mpenzi wangu Maprosoo

Aliniahidi tutafunga ndoa
Yakweli, Namapumziko yetu yangekuwa Mombasa

Amanipa ujauzito na sasa miezi sita yapata Simuoni,
Ehh Maprosooooox2

Wazazi na nyumbani, Wamenifukuzaa
Hata chumba changu, Wamepangisha sababu yako maprosoo×2

Hata Anko ataki kuniona sasa nikwende wapi ehee
Eyooooo----
Ehh Maprosoooo

Hizi zilikuwa nyimbo za wakati ule maprosoo alikuwa anaeleweka
Mwanamke alikuwa akihongwa mia inakuwa ndio harusi yake
Maprosoo walikuwa ni watu makini sio kama maprosoo wakileo ambao wanataka kulelewa na shuga momy

Enzi hizo bwana na kiatu chako cha raizoni, Suruali ya Bugaas, ukichomekea razima upigilie tai nyeusi
Mkononi ungeweka saa ya motima au Seiko...

We acha vijana wa kileo hata kuimba wanabana vipua vyao tu sauti hazitoki unaweza kudhani scania inapanda kitonga

We maprosoo hebu tukumbushane wazee wenzagu

Kuna wimbo kama wa mbaraka mwisheh

Sasa nimehamia mtaa wa saba, sio kule niliko ishi zamani kila siku paka hawaishi kulia lia
Nyumba ile sio nyumba ilikuwa na mikosii eeh×2

Maprosoo hebu na wewe tafadhari weka wimbo wa enzi zako.....
 
c14b2c05cefaaa3be97168801eea0217.jpg

Wimbo ulikuwa ukiimbwa hivi-
Mwenzenu mie najuta"
Nilikuwa na Mpenzi wangu Maprosoo

Aliniahidi tutafunga ndoa
Yakweli, Namapumziko yetu yangekuwa Mombasa

Amanipa ujauzito na sasa miezi sita yapata Simuoni,
Ehh Maprosooooox2

Wazazi na nyumbani, Wamenifukuzaa
Hata chumba changu, Wamepangisha sababu yako maprosoo×2

Hata Anko ataki kuniona sasa nikwende wapi ehee
Eyooooo----
Ehh Maprosoooo

Hizi zilikuwa nyimbo za wakati ule maprosoo alikuwa anaeleweka
Mwanamke alikuwa akihongwa mia inakuwa ndio harusi yake
Maprosoo walikuwa ni watu makini sio kama maprosoo wakileo ambao wanataka kulelewa na shuga momy

Enzi hizo bwana na kiatu chako cha raizoni, Suruali ya Bugaas, ukichomekea razima upigilie tai nyeusi
Mkononi ungeweka saa ya motima au Seiko...

We acha vijana wa kileo hata kuimba wanabana vipua vyao tu sauti hazitoki unaweza kudhani scania inapanda kitonga

We maprosoo hebu tukumbushane wazee wenzagu

Kuna wimbo kama wa mbaraka mwisheh

Sasa nimehamia mtaa wa saba, sio kule niliko ishi zamani kila siku paka hawaishi kulia lia
Nyumba ile sio nyumba ilikuwa na mikosii eeh×2

Maprosoo hebu na wewe tafadhari weka wimbo wa enzi zako.....
Daaaah wacha wakonhwe wajee!

Najua pia ntapata kujua kuhusu Seleman Kasaloo Kyanga na mduguye Kyanga Songa na nand yao ya Tankat Almas Wana Fimbo Lugoda,na kibao chao

"Safari sio kifo" hahahahaaaa daaah hatari sana
 
c14b2c05cefaaa3be97168801eea0217.jpg

Wimbo ulikuwa ukiimbwa hivi-
Mwenzenu mie najuta"
Nilikuwa na Mpenzi wangu Maprosoo

Aliniahidi tutafunga ndoa
Yakweli, Namapumziko yetu yangekuwa Mombasa

Amanipa ujauzito na sasa miezi sita yapata Simuoni,
Ehh Maprosooooox2

Wazazi na nyumbani, Wamenifukuzaa
Hata chumba changu, Wamepangisha sababu yako maprosoo×2

Hata Anko ataki kuniona sasa nikwende wapi ehee
Eyooooo----
Ehh Maprosoooo

Hizi zilikuwa nyimbo za wakati ule maprosoo alikuwa anaeleweka
Mwanamke alikuwa akihongwa mia inakuwa ndio harusi yake
Maprosoo walikuwa ni watu makini sio kama maprosoo wakileo ambao wanataka kulelewa na shuga momy

Enzi hizo bwana na kiatu chako cha raizoni, Suruali ya Bugaas, ukichomekea razima upigilie tai nyeusi
Mkononi ungeweka saa ya motima au Seiko...

We acha vijana wa kileo hata kuimba wanabana vipua vyao tu sauti hazitoki unaweza kudhani scania inapanda kitonga

We maprosoo hebu tukumbushane wazee wenzagu

Kuna wimbo kama wa mbaraka mwisheh

Sasa nimehamia mtaa wa saba, sio kule niliko ishi zamani kila siku paka hawaishi kulia lia
Nyumba ile sio nyumba ilikuwa na mikosii eeh×2

Maprosoo hebu na wewe tafadhari weka wimbo wa enzi zako.....
Daah
 
Back
Top Bottom