Yupo poa Kama wiki mbili nilimuona kariakoo kapendeza ila niliogopa kumsemesha maana kipindi cha nyuma ukimsalimu tu unakula kizinga... Na lawama kibao kwa Jay aliwasaliti... Nadhani sasa hivi akili zipo sawa... Ni mamsap nipoze moyo mama..
Afadhari, maana miaka hiyo alikuwa anakuja maskani Samora Avenue tulikuwa tunamuonea huruma. Fanani ukikaa nae na kumfahamu personally ni mtu poa sana, sema ngada inabadilisha maisha sana.
Afadhari, maana miaka hiyo alikuwa anakuja maskani Samora Avenue tulikuwa tunamuonea huruma. Fanani ukikaa nae na kumfahamu personally ni mtu poa sana, sema ngada inabadilisha maisha sana.
Yeah ni mtu poa sana..wiki iliyopita nimekutana nae kwenye basi la mwendo kasi anaelekea Kimara...mchizi yuko poa kabisaa na amegain sana mwili sema usela ndio kama kawaida haufutiki!