Hivi na we upoje si umuulizee kwan si tunamjuaaa ,sie wengine hatupo hivyoo
Utakuta umempata demu siku ya kwanza tu , atakwambia oh me nna vidonda vya tumbo maharage situmii , lakini ukimpeleka kwa mpemba anakula kihepe kuku na pilipili kibao !
Tena utaskia me mama hataki ntembee usiku , ukipita kwao usiku wamkuta sa 5 yuko nje na wambeya wenzake....
Atakwambia baby me spendi mapenzi ya uongo sababu nshawahi tendwa , ukichunguza ye ndo kamtenda mpenzi wake kwa kukukubali wewe ,
oh darly me spendi kushare love na mtu kumbe ye ana mabwana wa nne ! Hivi nyi mkoje ?
Poa poa najua haupo ivo na unashangaa kama mm navoshangaa apa
Utakuta umempata demu siku ya kwanza tu , atakwambia oh me nna vidonda vya tumbo maharage situmii , lakini ukimpeleka kwa mpemba anakula kihepe kuku na pilipili kibao !
Tena utaskia me mama hataki ntembee usiku , ukipita kwao usiku wamkuta sa 5 yuko nje na wambeya wenzake....
Atakwambia baby me spendi mapenzi ya uongo sababu nshawahi tendwa , ukichunguza ye ndo kamtenda mpenzi wake kwa kukukubali wewe ,
oh darly me spendi kushare love na mtu kumbe ye ana mabwana wa nne ! Hivi nyi mkoje ?
Ukweli ni kwamba, ukitaka kumuelewa mwanamke kila kitu utaweza kuwa chizi au ukajifunza kumpenda mpya. That why maandiko ya dini yanasema tuishi nao kwa akili na maharifa.
Utakuta umempata demu siku ya kwanza tu , atakwambia oh me nna vidonda vya tumbo maharage situmii , lakini ukimpeleka kwa mpemba anakula kihepe kuku na pilipili kibao !
Tena utaskia me mama hataki ntembee usiku , ukipita kwao usiku wamkuta sa 5 yuko nje na wambeya wenzake....
Atakwambia baby me spendi mapenzi ya uongo sababu nshawahi tendwa , ukichunguza ye ndo kamtenda mpenzi wake kwa kukukubali wewe ,
oh darly me spendi kushare love na mtu kumbe ye ana mabwana wa nne ! Hivi nyi mkoje ?