ngalikikinakiki
Member
- Mar 29, 2011
- 55
- 20
Mkuu mwenzako ule ndio ulaji wake kusema uongo kuhusu muziki ... mwache bana....
Zomboko amba, siku hiz kila mahali, lalamiko la misha, dunia ya leo ni vuta nikuvute.
Umeshakuwa mtu wa makamo, Zomboko Amba eeeh, na mambo ya uongo hayo, jiepusha nayo...
Muulizeni wimbo huu umeimbwa na nani